Katika warimbwende wenye mvuto wa nyota ya kipekee katika kila anachogusa kina geuka dhahabu basi ni mwana dada wema sepetu hii wala haina shaka miongoni mwa watu wanaofatilia tathinia ya burudani hapa nchini na hata imepelekea wadau wengi kushawishika kujiweka karibu waitumie nyota hii ya sepetunga!! hahaha!!.
Haina ubishi wala longo longo ndie mtu nguli pekee ambaye ukitathimini kwa kina kipi kikubwa hasa ambacho ame perform tofauti sana na wenzie hadi kupelekea kuwa na kivutio namna hiyo utabaki umepigwa butwaa tu, Mana kama Muvi wapo wanacheza hata muvi 10 kwa mwaka na bado hawawi vipenzi vya wapenda burudani kama ni u miss wapo walikuwa mamiss tena na miskedo kedede japo hawaja make head line kama za mtoto wa sepetu kama ni muhusiano ya maluvidavi wapo wanao badili kama vocha za simu lakini bado pamoja na umarufu wao hawajaigusa nyota hii ya sepetunga!! Huyu ndio wema bin sepetu bwana.


0comments:
POST A COMMENT